KIKOSI cha Simba kesho kinatarajiwa kuondoka nchini kwenda Dubai kuweka kambi ya mazoezi kujiandaa na sehemu iliyobaki ya msimu.
Kambi hiyo ni mwaliko kutoka kwa Rais wa Heshima wa Simba SC, Mohammed Dewji na wanakwenda huko kufuatia kutolewa mapema kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar.
0 comments:
Post a Comment