Pongezi kwa wafungaji wa mabao hayo, Amos Kadikilo dakika ya 45 na ushei na Edmund John dakika ya 75.
Kwa ushindi huo Geita Gold inafikisha pointi 27 na kusogea nafasi y tano, wakati Dodoma Jiji FC inabaki na pointi zake 21 nafasi ya 12 baada ya wote kucheza mechi 20.
0 comments:
Post a Comment