BAO pekee la mshambuliaji Mkongo, Fiston Kalala Mayele dakika ya 64 limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Kwa ushindi huo, Yanga SC inafikisha pointi 53 katika mchezo wa 20 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi tisa zaidi ya mahasimu, Simba SC waliocheza mechi 19. Ihefu SC baada ya kichapo cha leo inabaki na pointi zake 20 za mechi 20 sasa nafasi ya 13.
Serie A: Lookman nominated for Player of the Month
-
By Seyi Babalola Atalanta forward Ademola Lookman has been nominated for
Serie A Player of the Month of May. Lookman was nominated alongside five
other p...
Simba book final spot in CAF Confederation cup
-
Simba booked their spot in the final of the CAF Confederation Cup following
a goalless draw against Stellenbosch on Sunday afternoon. The host
continued ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment