• HABARI MPYA

    Monday, January 30, 2023

    JEZI MPYA ZA YANGA KWA AJILI YA KOMBE LA SHIRIKISHO


    WACHEZAJI wa Yanga wakionyesha jezi mpya zenye nembe ya mdhamini mpya, kampuni ya Haier iliyoingia mkataba wenye thamani ya Sh. Bilioni 1.5 na klabu hiyo kuidhamini kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JEZI MPYA ZA YANGA KWA AJILI YA KOMBE LA SHIRIKISHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top