Kwa ushindi huo, Mbeya City inafikisha pointi 24 na kusogea nafasi ya tisa ikizidiwa pointi moja na Mtibwa Sugar inayoshika nafasi ya nane.
MBEYA CITY YAICHAPA MTIBWA SUGAR 1-0 SOKOINE
Kwa ushindi huo, Mbeya City inafikisha pointi 24 na kusogea nafasi ya tisa ikizidiwa pointi moja na Mtibwa Sugar inayoshika nafasi ya nane.
0 comments:
Post a Comment