MABINGWA watetezi, Liverpool wametinga Raundi ya Nne ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Wolverhampton Wanderers usiku wa Jumanne Uwanja wa Molineux .
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, Harvey Elliott dakika ya 13 tu ya mchezo na sasa Liverpool watakutana na Brighton & Hove Albion katika Raundi ya Nne.
0 comments:
Post a Comment