Mabao ya Yanga yamefungwa na Dickson Ambundo dakika ya saba, Dickson Musonda dakik ya 16 na 46, Stephane Aziz Ki dakika ya 20, Farid Mussa dakika ya 25, Yanick Bangala dakika ya 26 na David Bryson dakika ya 90 na ushei.
Kwa matokeo hayo, Yanga SC wanakwenda kukutana na Tanzania Prisons ambayo imeitupa nje Mashujaa FC leo kwa penalti 8-7 baada ya sare ya 2-2 Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment