Mabao ya Ihefu kutoka Mbarali, Ubaruku mkoani Mbeya yamefungwa na Ezekia Mwashilindi aliyejifunga dakika ya pili na Raphael Daudi Lothi dakika ya 90, wakati la Tanzania Prisons limefungwa na Jeremiah Juma dakika ya 64.
Kwa matokeo hayo, Ihefu inafikisha pointi 23 na kusogea nafasi ya 10, wakati Tanzania Prisons inabaki na pointi zake pointi 21 na kushukia nafasi ya 12.
0 comments:
Post a Comment