Singida Big Stars walitangulia kwa bao la nyota wao kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Francis Kazadi Kasengu dakika ya 22, kabla ya beki David Bryson kuisawazishia Yanga dakika ya 31.
Kwa matokeo hayo, timu zote zinamaliza na pointi nne, lakini Singida Big Stars wanakwenda Nusu Fainali kwa kuizidi Yanga bao moja.
0 comments:
Post a Comment