WENYEJI, Liverpool FC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield Jijini Liverpool.
Kwa matokeo hayo, timu zote zinafikisha pointi 28, Liverpool waliocheza mechi 18 wakiwa juu ya Chelsea yenye mechi moja zaidi kutokana na wastani wa mabao.
0 comments:
Post a Comment