Kwa ushindi huo, mabingwa hao watetezi wanafikisha pointi 56 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi sita zaidi ya mahasimu, Simba SC baada ya wote kucheza mechi 21.
Kwa upande wao Ruvu Shooting hali inazidi kuwa mbaya wakiendelea kushika mkia kwenye ligi ya timu 16 wakibaki na pointi zao 14 za mechi 21 pia.
0 comments:
Post a Comment