• HABARI MPYA

    Thursday, September 09, 2021

    KHALID ABEID ENZI ZAKE TAIFA STARS V KONGO 1971


    KIUNGO wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Khalid Abeid akimtoka mchezaji wa Kongo Brazaville katika mchezo wa kirafiki kuazimisha miaka 10 ya Uhuru wa Tanzania Desemba 9, mwaka 1971 Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 0-0.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KHALID ABEID ENZI ZAKE TAIFA STARS V KONGO 1971 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top