MAKOCHA wa Simba SC, Mfaransa Didier Gomes Da Rosa (kushoto) na wasaidizi wake, Mnyarwanda Thierry Hitimana (kulia) na mzawa, Suleiman Matola (katika) wakijadiliana mambo katika mazoezi ya timu hiyo kwenye kambi ya Arusha.
Simba SC inajiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika tamasha lake la kila mwaka la kutambulisha kikosi cha msimu mpya, SIMBA Day litakalofanyika Jumapili Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment