WENYEJI, Manchester United wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Villarreal katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Wageni walitangulia kwa bao la Paco Alcácer dakika ya 53, kabla ya wenyeji kuzinduka kwa mabao ya Alex Telles dakika ya 60 na Cristiano Ronaldo dakika ya 90 na ushei. Ushindi huo unawafanya Mashetani Wekundu waokote pointi tatu za kwanza kwenye kundi hilo kufuatia kuchapwa 1-0 na Young Boys kwenye mchezo wa kwanza Uswisi.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment