• HABARI MPYA

    Thursday, September 30, 2021

    RONALDO AING’ARISHA MAN UNITED ULAYA


    WENYEJI, Manchester United wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Villarreal katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester.
    Wageni walitangulia kwa bao la Paco Alcácer dakika ya 53, kabla ya wenyeji kuzinduka kwa mabao ya Alex Telles dakika ya 60 na Cristiano Ronaldo dakika ya 90 na ushei.
    Ushindi huo unawafanya Mashetani Wekundu waokote pointi tatu za kwanza kwenye kundi hilo kufuatia kuchapwa 1-0 na Young Boys kwenye mchezo wa kwanza Uswisi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AING’ARISHA MAN UNITED ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top