BINGWA wa ngumi duniani uzito wa juu, Anthony Joshua amejitokeza kwenye mbele ya Vyombo vya Habari Jijini London na kuonyesha alivyo tayari kwa pambano la kutetea mataji yake ya WBO, WBA, IBF na IBO Oleksandr Usyk wa Ukraine. Mbabe huyo mwenye umri wa miaka 31 kutoka Watford, jirani na London, atatetea mataji yake hayo mbele ya watazamaji 60,000 Uwanja wa Tottenham Hotspur, London.
Referees undergo refresher course in Njeru
-
Uganda referees set to officiate in the second round of FUFA Competitions
this season have reported at the FUFA Technical Centre, Njeru for sessions
invo...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment