• HABARI MPYA

    Monday, September 20, 2021

    YANGA SC WAREJEA NYUMBANI KINYONGE


    KIKOSI cha
     Yanga kimarejea Alfajiri ya leo Dares Salaam baada ya ya kuchapwa 1-0 na wenyeji Rivers United jana katika mechi ya marudiano Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika Jijini Port Harcourt, Nigeria.


    Yanga imeaga mashindano hayo kwa kichapo cha jumla cha 2-0 kufuatia kuchapwa 1-0 Jumapili iliyopita katika mchezo wa kwanza Dar es Salaam – na sasa wanaelekeza nguvu zao kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani, Simba Jumamosi Uwanja Benjamin Mkapa, Jijini.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC WAREJEA NYUMBANI KINYONGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top