TIMU ya Biashara United ya Mara imeondoka jana Jijini Dar es Salaam kwenda Djibouti kwa ajili ya mchezo wao wa kwanza wa Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, FC Dikhil. Mechi hiyo inachezwa leo jioni Uwanja wa El Hadj Hassan Gouled Jijini Ville de Djibouti kabla ya timu hizo kurudiana Septemba 18 hapa nchini.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment