// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BIASHARA WAENDA DJIBOUTI, MECHI LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BIASHARA WAENDA DJIBOUTI, MECHI LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, September 10, 2021

    BIASHARA WAENDA DJIBOUTI, MECHI LEO


    TIMU ya Biashara United ya Mara imeondoka jana Jijini Dar es Salaam kwenda Djibouti kwa ajili ya mchezo wao wa kwanza wa Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, FC Dikhil. 
    Mechi hiyo inachezwa leo jioni Uwanja wa El Hadj Hassan Gouled Jijini Ville de Djibouti kabla ya timu hizo kurudiana Septemba 18 hapa nchini.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BIASHARA WAENDA DJIBOUTI, MECHI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top