NYOTA wa Bayern Munich, Robert Lewandowski jana amekabidhiwa tuzo ya Kiatu cha Dhahabu Ulaya 2021 baada ya kuwa mfungaji bora wa bara hilo msimu uliopita 2020/21. Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Poland, Lewandowski alifunga mabao 41 katika mechi 29 za Bundesliga akifuatiwa na Lionel Messi na Cristiano Ronaldo. Wakati Muargentina, Messi alifunga mabao 30 akiwa Barcelona kwenye La Liga, Mreno Cristiano Ronaldo alifunga mabao 29 akiwa Juventus katika Serie A.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment