• HABARI MPYA

    Friday, September 24, 2021

    KAZE, ZAHERA WAREJESHWA YANGA SC


    UONGOZI wa klabu ya Yanga umemrejesha Mrundi, Cedric Kaze kuwa Kocha Msaidizi ws klabu hiyo chini ya Mtunisia, Nasreddine Nabi.
    Kazi alikuwa Kocha Mkuu wa Yanga msimu uliopita na akafukuzea kwa matokeo mabaya kabla ya ujio wa Nabi.


    Aidha, Yanga pia imerejesha Mkongo, Mwinyi Zahera kuwa Mkurugenzi wa Maendeleo Soka la Vijana baada ya awali kuwa Kocha Mkuu wa klabu mwaka juzi kabla ya kufukuzwa pia kwa matokeo yasiyoridhisha.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAZE, ZAHERA WAREJESHWA YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top