MABAO ya Idrissa Gueye dakika ya nane na Lionel Messi dakika ya 74 jana yamewapa wenyeji, Paris Saint-Germain ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes Jijini Paris, Ufaransa. Ushindi huo unaipeleka kileleni mwa Kundi hilo PSG ikifikisha pointi nne baada ya mechi mbili, sawa na Club Brugge, wakati Manchester City inabaki na pointi zake tatu katika nafasi ya tatu, mbele ya RB Leipzig ambayo haina pointi baada ya mechi mbili za awali.
Post-NBA Trade Deadline 2025 Buyout Candidates
-
With the NBA trade deadline now in the rearview mirror, some of the top
teams in the league will turn to the buyout market for potential roster
additions. ...
Police arrest 2 over N400m fraud
-
By John Ogunsemore The Nigeria Police Force has arrested two male suspects,
Saidu Adam Usman and Yusuf Umar, in connection with the creation and
distribu...
Referees undergo refresher course in Njeru
-
Uganda referees set to officiate in the second round of FUFA Competitions
this season have reported at the FUFA Technical Centre, Njeru for sessions
invo...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment