• HABARI MPYA

    Friday, September 17, 2021

    MWAMBUSI AHITIMU UKUFUNZI WA CAF

    MKURUGENZI wa Idara ya Michezo Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Yusuph Singo akimkabidhi cheti cha kuhitimu Kozi ya Ukufunzi ya CAF aliyewahi kuwa kocha wa Yanga SC, Juma Mwambusi baada ya kuhitimu mafunzo ya siku 10 yaliyoshirikisha watu 11.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MWAMBUSI AHITIMU UKUFUNZI WA CAF Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top