SHIRIKISHO la SOKA Afrika (CAF) limesistiza kutoruhusu mashabiki katika mechi ya marudiano ya Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho barani baina ya wenyeji, Biashara United ya Mara na FC Dikhil Jumamosi Saa 1:00 usiku Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Biashara United wanahitaji kuulinda ushindi wao wa ugenini wa 1-0 ili Djibouti ili kusonga mbele ambako watakutana na mshindi kati ya ya Hay Alwady Nyala ya Sudan na Al Ahli Tirpoli ya Libya.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment