KLABU ya Mtibwa Sugar imemtangaza Mcameroon Joseph Marius Omog kuwa kocha wake mpya kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
OMOG KOCHA MPYA MTIBWA
KLABU ya Mtibwa Sugar imemtangaza Mcameroon Joseph Marius Omog kuwa kocha wake mpya kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
0 comments:
Post a Comment