UONGOZI wa Simba umewahamasisha wapenzi na mashabiki wake kuendelea kukata tiketi kwa ajili ya tamasha la Simba Day Jumapili licha ya changamoto zilizojitokeza. Simba watamenyana na mabingwa mara nne Afrika, TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika tamasha la Simba Day Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment