UONGOZI wa Simba umewahamasisha wapenzi na mashabiki wake kuendelea kukata tiketi kwa ajili ya tamasha la Simba Day Jumapili licha ya changamoto zilizojitokeza.
Simba watamenyana na mabingwa mara nne Afrika, TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika tamasha la Simba Day Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment