• HABARI MPYA

    Sunday, September 12, 2021

    KMKM YACHAPWA 2-0 NA AL ITTIHAD AMAAN

     WENYEJI, KMKM wamechapwa mabao 2-0 na Al Ittihad ya Libya katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika jioni ya leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
    Mabao yaliyoizamisha KMKM leo yamefungwa na Muad Eisay dakika ya 45 na Rabia Al Shadi dakika ya 84 na timu hizo zitarudiana Septemba 19 Uwanja wa Taïeb Mhiri Jijini Sfax, Tunisia.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KMKM YACHAPWA 2-0 NA AL ITTIHAD AMAAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top