• HABARI MPYA

    Saturday, September 18, 2021

    TP MAZEMBE WAWASILI KUIVAA SIMBA KESHO

     MABINGWA mara nne Afrika, TP Mazembe wamewasili mchana wa leo Uwanja Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kutoka Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) tayari kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji, Simba SC kwenye tamasha la Simba Day kesho jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TP MAZEMBE WAWASILI KUIVAA SIMBA KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top