MABINGWA mara nne Afrika, TP Mazembe wamewasili mchana wa leo Uwanja Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kutoka Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) tayari kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji, Simba SC kwenye tamasha la Simba Day kesho jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini.
Why Bellingham was not sent off for covering his mouth
-
England midfielder Jude Bellingham was not shown a red card despite
covering his mouth while talking to Ghana's Jordan Ayew.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment