• HABARI MPYA

    Wednesday, September 15, 2021

    UBOLOZI WA MAREKANI KUISAPOTI TFF

     MKURUGENZI wa Ufundi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Oscar Mirambo jana amekutana na Maofisa wa Ubalozi wa Marekani ambao lengo lao ni kuangalia maeneo mbalimbali ya maendeleo ya ambayo Ubalozi huo utashiriki.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UBOLOZI WA MAREKANI KUISAPOTI TFF Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top