KLABU ya Simba SC imeingia mkataba wa miaka miwili na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) wa ushirikiano wa usafiri wa Anga.
Mkataba huo ulisainiwa jana baina ya Mkurugenzi wa ATCL, Mhandisi Ladislaus Matindi na Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Barbara Gonzalez.
Mkataba huo ulisainiwa jana baina ya Mkurugenzi wa ATCL, Mhandisi Ladislaus Matindi na Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Barbara Gonzalez.
0 comments:
Post a Comment