KIKOSI cha timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Tanzanites kimeondoka Dar es Salaam leo asubuhi kwenda Eritrea kwa ajili ya mechi na wenyeji Jumamosi kufuzu Kombe la Dunia kuanzia Agosti 10 hadi 28 mwakani nchini Costa Rica, kabla ya kurejea Dar es Salaam kwa mechi ya marudiano itapigwa Oktoba 9.
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni