BAO pekee la mshambuliaji wa kimataifa wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 66 jana limetosha kuipa Arsenal FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Norwich City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates Jijini London – huo ukiwa ushindi wa kwanza baada ya The Gunners kupoteza mechi tatu za awali (0-2 Brentford, 0-2 Chelsea, 0-5 Manchester City).
Ten Hag: There was no panic
-
The boss feels his side were composed in responding to conceding two
'unacceptable' goals on Wednesday.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment