• HABARI MPYA

    Saturday, September 11, 2021

    AUBAMEYANG AING’ARISHA ARSENAL ENGLAND

     BAO pekee la mshambuliaji wa kimataifa wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 66 jana limetosha kuipa Arsenal FC ushindi wa 1-0 dhidi ya Norwich City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa  Emirates Jijini London – huo ukiwa ushindi wa kwanza baada ya The Gunners kupoteza mechi tatu za awali (0-2 Brentford, 0-2 Chelsea, 0-5 Manchester City).


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AUBAMEYANG AING’ARISHA ARSENAL ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top