TIMU ya Manchester United imepata ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa London. Mshambuliaji Mualgeria, Mohamed Said Benrahma alianza kuifungia West Ham dakika ya 30, kabla ya Cristiano Ronaldo kuisawazishia Man United dakika ya 35 na Jesse Lingard kufunga la ushindi dakika ya 89. Man United inafikisha pointi 13 baada ya ushindi huo, ingawa wanabaki nafasi ya pili wakizidiwa wastani wa mabao tu na Liverpool baada ya wote kucheza mechi tano.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment