BAO la Valentino Mashaka dakika ya 90 na ushei limeipa Geita Gold ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Kwa ushindi huo, Geita Gold inafikisha pointi 21 na kusogea nafasi ya 14, wakati Dodoma inabaki na pointi zake 23 nafasi ya tisa baada ya wote kucheza mechi 20.
0 comments:
Post a Comment