• HABARI MPYA

    Saturday, March 09, 2024

    BODI YAUFUNGIA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO KWA MECHI ZA LIGI KUU

    BODI ya Ligi Kuu ya Tanzania (TPLB) imeufungia Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kwa mechi za Ligi Kuu kutokana na mapungufu kadhaa yanayoathiri urushaji wa matangazo ya moja kwa moja ya Televisheni.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BODI YAUFUNGIA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO KWA MECHI ZA LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top