// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
UJENZI UWANJA MPYA WA KISASA WA KABUMBU ARUSHA MAMBO YAIVA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEUJENZI UWANJA MPYA WA KISASA WA KABUMBU ARUSHA MAMBO YAIVA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
UJENZI UWANJA MPYA WA KISASA WA KABUMBU ARUSHA MAMBO YAIVA
KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa (kushoto) akisaini Mkataba na Mkandarasi China Southwest Architectural Design and Research Institute Corp. Ltd kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja mpya wa kisasa Soka Jijini Arusha katika hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Zoezi hilo limeshuhudiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dk. Damas Ndumbaro, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongela na viongozi wengine wa Wizara hiyo. GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment