KIKOSI cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kimeondoka leo kwenda Azerbaijani kwa ajili ya mashindano mapya na mafupi ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) yajulikanayo kama FIFA Series.
Michuano hiyo itafanyika kuanzia Machi 18 hadi 24 katika nchi nne tofauti na Taifa Stars watakuwa Kundi moja na wenyeji, Azerbaijan, Bulgaria na Mongolia.
0 comments:
Post a Comment