WENYEJI, Manchester United wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Mabao yote ya Manchester United yamewekwa kimiani kwa mikwaju ya penalti, la kwanza kiungo Mreno Bruno Fernandes dakika ya 12 na la pili mshambuliaji Muingereza, Marcus Rashford dakika ya 36. Kwa ushindi huo, Manchester United wanafiisha pointi 47 na kusogea nafasi ya sita, wakati Everton inabaki na pointi zake 25 nafasi ya 16 baada ya wote kucheza mechi 28.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment