NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta ameomba kutojumuishwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kwa ajili ya mashindano mapya na mafupi ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).
Michuano hiyo inayojulikana kama FIFA Series itafanyika kuanzia Machi 18 hadi 24 katika nchi nne tofauti na Taifa Stars watakuwa kituo cha Azerbaijan pamoja na wenyeji, Azerbaijan, Bulgaria na Mongolia.
0 comments:
Post a Comment