// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
TABORA UNITED YAJIONDOA ‘DANGER ZONE’ BAADA YA KUICHAPA COASTAL UNION 1-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINETABORA UNITED YAJIONDOA ‘DANGER ZONE’ BAADA YA KUICHAPA COASTAL UNION 1-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TABORA UNITED YAJIONDOA ‘DANGER ZONE’ BAADA YA KUICHAPA COASTAL UNION 1-0
BAO pekee la beki Mkongo, Andy Bikoko Lobulka dakika ya tatu limeipa Tabora United ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Unión katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. Kwa ushindi huo, Tabora United inafikisha pointi 21 katika mchezo wa 19 na kuchupa kutoka nafasi ya 14 hadi ya tisa, wakati Coastal Unión inabaki na pointi zake 26 za mechi 18 sasa nafasi ya nne.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment