// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
TABORA UNITED YAJIONDOA ‘DANGER ZONE’ BAADA YA KUICHAPA COASTAL UNION 1-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINETABORA UNITED YAJIONDOA ‘DANGER ZONE’ BAADA YA KUICHAPA COASTAL UNION 1-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
TABORA UNITED YAJIONDOA ‘DANGER ZONE’ BAADA YA KUICHAPA COASTAL UNION 1-0
BAO pekee la beki Mkongo, Andy Bikoko Lobulka dakika ya tatu limeipa Tabora United ushindi wa 1-0 dhidi ya Coastal Unión katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. Kwa ushindi huo, Tabora United inafikisha pointi 21 katika mchezo wa 19 na kuchupa kutoka nafasi ya 14 hadi ya tisa, wakati Coastal Unión inabaki na pointi zake 26 za mechi 18 sasa nafasi ya nne.
Media Accreditation: Uganda Vs South Africa
-
FUFA wishes to inform you that the application process for accreditation to
cover the AFCON Qualifier 2025 match between Uganda and South Africa on
Frida...
CAF Postpones Libya vs Nigeria
-
The Confederation of African Football (CAF) has officially confirmed the
postponement of the AFCON 2025 second-leg match between Nigeria’s Super
Eagles a...
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment