MWANACHAMA MKONGWE YANGA, MZEE MANENO AFARIKI DUNIA DODOMA
MWANACHAMA wa muda mrefu wa Yanga na aliyekuwa mfanyakazi wa klabu hiyo, Meneno Hussein amefariki dunia leo nyumbani kwao Jijini Dodoma baada ya kusumbuliwa na maradhi. Maneno alifahamika Yanga miaka ya 1980 akianza kama mpenzi aliyejitolea kusaidia timu kifedha, kabla ya baadaye kupangishwa eneo la biashara ya vinywaji makao makuu ya klabu, Jangwani. Kufuatia kufungwa kwa Kaunta ya vinywaji klabuni, Maneno akahamia kwenye utumishi wa klabu kwanza kwa kujitolea kama mmoja msimamizi wa mapato na baadaye kuajiriwa kama mlinzi wa kambi ya timu. Mungu ampumzishe kwa amani Maneno Hussein. Amín.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment