// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MUDATHIR YAHYA MCHEZAJI BORA WA YANGA FEBRUARI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMUDATHIR YAHYA MCHEZAJI BORA WA YANGA FEBRUARI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
NYOTA Mudathir Yahya Abbas ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Yanga SC kwa mwezi Februari akiendeleza mwanzo mzuri wa mwaka huu kwa wazawa, baada ya mshambuliaji Clement Francis Mzize kushinda tuzo ya Januari. Mudathir ameshinda kiungo mwenzake, Muivory Coast, Peodoh Pacôme Zouzoua na beki mzawa mwenzake, Nickson Clement Kibabage alioingia Fainali. Kwa kushinda Tuzo hiyo, Mudathir atazawadiwa kitita cha Sh. Milioni 3 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya NIC Insurance.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment