KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Hemed Suleiman ‘Morocco’ ameteua wachezaji 23 kwa ajili ya mashindano mapya na mafupi ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) yajulikanayo kama FIFA Series.
Michuano hiyo itafanyika kuanzia Machi 18 hadi 24 katika nchi nne tofauti na Taifa Stars watakuwa kituo cha Azerbaijan pamoja na wenyeji, Azerbaijan, Bulgaria na Mongolia.
0 comments:
Post a Comment