// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
LIVERPOOL YAICHAPA NOTTINGHAM FOREST 1-0 BAO LA JIONI KABISA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINELIVERPOOL YAICHAPA NOTTINGHAM FOREST 1-0 BAO LA JIONI KABISA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
LIVERPOOL YAICHAPA NOTTINGHAM FOREST 1-0 BAO LA JIONI KABISA
BAO la dakika ya 90+9 la mshambuliaji wa Kimataifa wa Uruguay, Darwin Nunez limeipa Liverpool ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Nottingham Forest katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The City Ground, Nottingham, Nottinghamshire. Kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 63 katika mchezo wa 27 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi nne zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City ambao hata hivyo wana mechi moja mkononi. Kwa upande wao, Nottingham Forest wanabaki na pointi zao 24 za mechi 27 pia nafasi ya 17.
Atalanta needs Lookman’s magic – Gasperine
-
•Club coach ponders Injured Nigerian return Atalanta coach Gian Pero
Gasperini is banking on Super Eagles forward Ademola Lookman to lead their
comeback ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment