WENYEJI, Liverpool wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Aston Villa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield Jijini Liverpool. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Dominik Szoboszlai dakika ya tatu, Matthew Cash aliyejifunga dakika ya 22 na Mohamed Salah dakika ya 55. Kwa ushindi huo, Wekundu hao wanafikisha pointi 10 na kusogea nafasi ya tatu, wakati Aston Villa wanabaki na pointi zao sita nafasi 11 baada ya wote kucheza mechi nne.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment