• HABARI MPYA

    Saturday, September 30, 2023

    MAN UNITED WACHAPWA 1-0 NA CRYSTAL PALACE OLD TRAFFORD


    WENYEJI, Manchester United wamechapwa 1-0 na wenyeji, Crystal  Palace bao pekee la beki Mdenmark, Joachim Andersen dakika ya 25 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester.
    Kwa ushindi huo, Crystal Palace 11 na kusogea nafasi ya tisa, wakati Manchester United inabaki na pointi zake tisa nafasi ya 10 baada ya wote kucheza mechi saba.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED WACHAPWA 1-0 NA CRYSTAL PALACE OLD TRAFFORD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top