KIPA wa Simba SC, Ayoub Lakred akiwa mazoezini Uwanja wa Levy Mwanawaswa Jijini Ndola, Zambia kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Power Dynamos.
Mchezo huo wa kwanza Hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika utachezwa Saa 10:00 jioni na kuonyeshwa LIVE na AzamSports2HD.
0 comments:
Post a Comment