// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); CHELSEA YABAMIZWA 1-0 NA NOTTINGHAM FOREST PALE PALE DARAJANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE CHELSEA YABAMIZWA 1-0 NA NOTTINGHAM FOREST PALE PALE DARAJANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, September 02, 2023

    CHELSEA YABAMIZWA 1-0 NA NOTTINGHAM FOREST PALE PALE DARAJANI


    WENYEJI, Chelsea wamechapwa bao 1-0 na Nottingham Forest katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London.
    Bao pekee la Nottingham Forest limefungwa na mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Anthony Elanga dakika ya 48 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi sita nafasi ya tisa, wakati Chelsea inabaki na pointi zake nne nafasi ya 11 baada ya wote kucheza mechi nne
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YABAMIZWA 1-0 NA NOTTINGHAM FOREST PALE PALE DARAJANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top