BEKI Levi Colwill akishangilia baada ya kuifungia bao Chelsea dhidi ya wenyeji, AFC Bournemouth kabla ya kuambiwa alikuwa ameotea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika kwa sare ya bila kufungana Jumapili Uwanja wa Vitality mjini Bournemouth, Dorse.
Matokeo hayo yanaifanya Chelsea ifikishe pointi tano nafasi ya 14, wakati Bournemouth imefikisha pointi tatu nafasi ya 15 baada ya wote kucheza mechi tano.
0 comments:
Post a Comment