// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
YANGA SC YATINGA HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEYANGA SC YATINGA HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
YANGA SC YATINGA HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
MABINGWA wa Tanzania, Yanga wamefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 1-0 leo dhidi ya Al Merreikh ya Sudan Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, mshambuliaji chipukizi Clement John Mzize dakika ya 66 kwa kichwa akiunganisha krosi ya beki Mkongo, Joyce Lomalisa Mutambala kutoka upande wa kushoto wa Uwanja. Yanga inakwenda hatua ya 16 Bora kwa ushindi wa jumla wa 3-0 kufuatia kuwachapa Al Merreikh 2-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki mbili zilizopita mjini Kigali, Rwanda. Mara ya mwisho Yanga kwenda hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ilikuwa mwaka 1998 wakipozitoa Rayon Sport ya Rwanda na Coffee ya Ethiopia katika Raundi mbili za awali. Na msimu huu Yanga wanafika Hatua hiyo baada ya kuzitoa ASAS ya Djibouti na Merreikh.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment