// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
YANGA SC YATINGA HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEYANGA SC YATINGA HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
YANGA SC YATINGA HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA
MABINGWA wa Tanzania, Yanga wamefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 1-0 leo dhidi ya Al Merreikh ya Sudan Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, mshambuliaji chipukizi Clement John Mzize dakika ya 66 kwa kichwa akiunganisha krosi ya beki Mkongo, Joyce Lomalisa Mutambala kutoka upande wa kushoto wa Uwanja. Yanga inakwenda hatua ya 16 Bora kwa ushindi wa jumla wa 3-0 kufuatia kuwachapa Al Merreikh 2-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki mbili zilizopita mjini Kigali, Rwanda. Mara ya mwisho Yanga kwenda hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ilikuwa mwaka 1998 wakipozitoa Rayon Sport ya Rwanda na Coffee ya Ethiopia katika Raundi mbili za awali. Na msimu huu Yanga wanafika Hatua hiyo baada ya kuzitoa ASAS ya Djibouti na Merreikh.
-
YOUNG Africans have reignited their hopes of reaching the quarterfinals of
the CAF Champions League following a vital 1-0 victory over Al Hilal at
the C...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment