TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mbuni inayoshiriki Ligi ya NBC Championship katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Mabao ya Azam FC ambayo imeutumia mchezo huo kama sehemu ya maandalizi ya mchezo wake ujao wa Ligi Kuu ya yamefungwa na Mzimbabwe Prince Dube Mpumelelo dakika ya 39 na mzawa Lusajo Mwaikenda dakika ya 44.
0 comments:
Post a Comment