• HABARI MPYA

    Saturday, September 23, 2023

    TWIGA STARS YACHAPWA 2-0 NA IVORY COAST KUFUZU WAFCON


    TIMU ya Taifa ya wanawake Twiga Stars jana imechapwa mabao 2-0 na wenyeji, Ivory Coast 
    Uwanja wa Yamoussoukro katika mchezo wa kwanza kuwania tiketi ya kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) mwakani nchini Morocco.
    Timu hizo zitarudiana Septemba 26 Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam na mshindi wa jumla atakutana na mshindi wa jumla kati ya Djibouti na Togo katika hatua ya mwisho ya mchujo mwezi ujao.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TWIGA STARS YACHAPWA 2-0 NA IVORY COAST KUFUZU WAFCON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top